Hands up if you're ready for the new season! Which current #Arsenalplayer do you think will make the biggest impact in 2014/15?
Jumatano, Julai 09, 2014
NEW SIGNINGS
Bafetimbi Gomis was involved in his first training session as a Swansea City player today. Plenty more pics to follow from the session in Chicago.
AIBU: JE WAJUA BRAZIL YAPIGWA 7-1 NA UJERUMANI
AIBU: JE WAJUA BRAZIL YAPIGWA 7-1 NA UJERUMANI
.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image/*)
*André Horst Schürrle (katikati) akifurahia na wachezaji wenzake wa Ujerumani baada ya kufunga bao la 7 dhidi ya Brazil.* *MWENYEJI wa michuano ya Kombe la Dunia 2014, Brazil ameyaaga mashindano hayo kwa aibu baada ya kupokea kipigo hevi cha mabao 7-1 kutoka kwa Ujerumani.* *Brazil ameondolewa katika michuano hiyo hatua ya nusu fainali na atalazimika kucheza mechi ya kutafuta mshindi wa tatu na timu itakayopoteza mechi ya leo kati ya Uholanzi na Argentina.* *Mabao ya Ujerumani ambao wamelichukua kombe hilo mara tatu ni: Muller, 11, Klose, 23, Kroos, 24, 26, Khedira, 29, Schurrle, 69... zaidi »
CHEKI PICHA ZA MATUKIO YOTE YALIOJILI KATIKA MECHI YA GERMANY NA BRAZIL
CHEKI PICHA ZA MATUKIO YOTE YALIOJILI KATIKA MECHI YA GERMANY NA BRAZIL

*Thomas Muller akifunga bao la kwanza la Ujerumani dakika ya 11.* *Muller akishangilia bao lake.* *Mshambuliaji wa Ujerumani, Miroslav Klose akifunga bao la pili dakika ya 23.* *Fernandinho akiuhuzunika baada ya kutingwa bao la 5 na Ujerumani.* *Kilio kimetanda Brazil.* *Kocha Mkuu wa Brazil, Luiz Felipe Scolari akiwa hoi baada ya kipigo.*
KIPIGO CHA AIBU
MATCH REPORT | Germany humiliate Brazil to reach #WorldCup final - http://ffaus.co/1qgREQa #BRAGER #Brazil2014 pic.twitter.com/x2lCurPKhG

Previous
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)